Wakenya wengi wasafiri mashinani kujiandaa kupiga kura
Published on: August 01, 2017 08:29 (EAT)
Zikiwa zimesalia siku sita pekee kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, wasafiri katika vituo vya basi wameongezaka maradufu. Runinga ya citizen imebaini kuwa wengi wanakwenda katika maeneo walikojisajili kama wapigakura.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment