Wakenya wengi wasafiri mashinani kujiandaa kupiga kura

Zikiwa zimesalia siku sita pekee kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, wasafiri katika vituo vya basi wameongezaka maradufu. Runinga ya citizen imebaini kuwa wengi wanakwenda katika maeneo walikojisajili kama wapigakura.

Tags:

IEBC uchaguzi Wakenya

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories