Wakenya wengi wasafiri mashinani kujiandaa kupiga kura
Published on: August 01, 2017 08:29 (EAT)
Zikiwa zimesalia siku sita pekee kabla ya kufanyika uchaguzi mkuu, wasafiri katika vituo vya basi wameongezaka maradufu. Runinga ya citizen imebaini kuwa wengi wanakwenda katika maeneo walikojisajili kama wapigakura.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment