Wakimbizi wa machafuko ya baada ya uchaguzi wakita kambi nje ya bunge
Published on: October 20, 2016 11:29 (EAT)
Familia ambazo zilitoweka hapa nchini mwaka wa 2007/8 kufuatia machafuko ya uchaguzi, wanasema wataendelea kukita kambi katika majengo ya bunge wakisema kwamba wanataka kushughulikiwa na serikali kwani hawana makao.
Wanadai kwamba serikali inakiuka ahadi ya kuwasadia na kuwa wataendelea kuishi hapo njee ya makao ya bunge. Wakimbizi hao wameishi hapo kwa muda wa wiki mbili sasa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment