Wakongwe wa Nandi

Tarehe ya kuzaliwa huwa na umuhimu mkuu kwa wengi… baadhi wakisherekea kwa kukata keki na hata kujiliwaza kwa njia nyingi. Lakini kwa wakongwe kutoka bonde la ufa wengi hawajui siku zao za kuzaliwa na kutumia mbinu nyingine ya kujua umri wao. Saida swaleh na taarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories