Wakongwe wengi wajiunga na shule Turkana
Published on: October 14, 2017 08:17 (EAT)
Kulingana na ripoti ya shirika la kuhifadhi takwimu za taifa humu nchini, KNBS, watu wazima zaidi ya asilimia sabini wa kaunti ya Turkana hawajui kusoma wala kuandika. Hata hivyo sasa mambo yameanza kubadilika na watu wazima wengi ambao hawakusoma wamejiunga na shule za elimu nya watu wazima yaani ngumbaru.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment