Wakulima Laikipia wazozana na wafugaji wa Pokot
Published on: January 10, 2017 08:06 (EAT)
Utata umezuka kati ya wenyeji wa kaunti ya Laikipia na wafugaji wa jamiii ya Pokot na Samburu . Wenyeji wamelalamikia uharibifu wa mashamba yao unaosababishwa na mifugo wa jamii hizo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment