Wakulima wa mahindi Trans Nzoia wageukia miwa
Published on: October 07, 2017 08:34 (EAT)
Huenda mahindi yanayokuzwa humu nchini yakapungua kwa kiwango kikubwa. Kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi wakuilima wengi wa mahindi katika kaunti ya Trans Nzoia wamegeukia kilicho cha miwa wanayodai ina faida zaidi ya mahindi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment