Wakulima wa mahindi wahofia kushindwa kulima mwaka huu
Published on: January 20, 2018 08:37 (EAT)
Huku matayarisho ya msimu wa upanzi yakianza katika eneo la kaskazini mwa bonde la ufa, wakulima wengi huenda wakashindwa kuendeleza kilimo kutokana na masaibu ya mwaka jana. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi hii ni baada ya kupata harasa kutokana na viwavi jeshi na nyingi ya mazao yao kuozea mashambani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment