Wakulima wa mahindi wahofia kushindwa kulima mwaka huu

Huku matayarisho ya msimu wa upanzi yakianza katika eneo la kaskazini mwa bonde la ufa, wakulima wengi huenda wakashindwa kuendeleza kilimo kutokana na masaibu ya mwaka jana. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Collins Shitiabayi hii ni baada ya kupata harasa kutokana na viwavi jeshi na nyingi ya mazao yao kuozea mashambani.

Tags:

maize farmers

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories