Walimu wa kiwango cha P1 wapandishwa hadhi
Published on: October 25, 2016 09:54 (EAT)
Walimu wote wa kiwango cha chini cha P1 sasa wamepandishwa ngazi na kuwekwa kwenye kiwango cha H. Hii inamaanisha kuwa walimu hao sasa watapata mshahara ulioimarika.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment