Walimu wa kiwango cha P1 wapandishwa hadhi

Walimu wote wa kiwango cha chini cha P1 sasa wamepandishwa ngazi na kuwekwa kwenye kiwango cha H. Hii inamaanisha kuwa walimu hao sasa watapata mshahara ulioimarika.

Tags:

walimu Walimu wa p1

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories