Walimu washikwa wakifunza masomo ya ziada
Published on: November 23, 2016 07:44 (EAT)
Wizara ya elimu imetwaa leseni ya kuhudumu ya shule ya Happy Land iliyoko mtaani buruburu. Hii ni baada ya waalimu katika shule hiyo kufumaniwa wakiendeleza masomo ya ziada .
Kwingineko huko Kikuyu maafisa wa wizara ya elimu waliwakamata walimu waliokuwa wakifunza masomo hayo hayo ya ziada ambayo ni kinyume na sheria.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment