Walimu washikwa wakifunza masomo ya ziada

Wizara ya elimu imetwaa leseni ya kuhudumu ya shule ya Happy Land iliyoko mtaani buruburu. Hii ni baada ya waalimu katika shule hiyo kufumaniwa wakiendeleza masomo ya ziada .

Kwingineko huko Kikuyu maafisa wa wizara ya elimu waliwakamata walimu waliokuwa wakifunza masomo hayo hayo ya ziada ambayo ni kinyume na sheria.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories