Walimu watishia kugoma
Published on: August 24, 2017 09:05 (EAT)
Muungano wa kitaifa wa walimu KNUT umempa waziri wa leba Phylis Kandie makataa ya siku saba kushughulikia suala la kuondolewa kwa nyongeza ya kila mwaka kwenye mishahara ya walimu la sivyo waitishe mgomo wa kitaifa. Hii ni katika hali ambayo Rais Uhuru Kenyatta amepongeza huduma za elimu zinazotolewa na shule za kimisheni akisema zimekuwa na mchango mkubwa katika kuinua hadhi ya elimu nchini.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment