Walimu wote kupata nyongeza ya mishahara
Published on: October 26, 2016 09:54 (EAT)
Baada ya vuta nikuvute baina ya walimu na muajiri wao TSC , hatimaye kuna nuru shuleni, baada ya walimu kujinyakulia nyongeza ya mishahara.
Mwalimu wa kiwango cha chini almaarufu P1 sasa atapata mshahara wa kati ya 21,000 na 27,000.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment