Walinzi wa wanasiasa wazusha vurugu kortini
Published on: August 28, 2017 09:14 (EAT)
Kulizuka kizaazaa nje ya mahakama ya kilele kufuatia kuzuiliwa kwa mlinzi wa seneta wa Bungoma Moses Wetangula kuingia mahakamani. Maafisa wa polisi kwa siku ya pili mfululizo wameweka na kuimarisha usalama mkubwa nje na karibu ya mahakama hiyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment