Walinzi wane wa Gavana Mutua wafariki

Watu wanne wakiwemo maafisa wawili wa polisi wa utawala ambao walikuwa wamempa ulinzi mke wa gavana wa Machakos Lilian Nganga kutoka Machakos hadi Mlolongo walifariki baada ya gari lao kuhusika katika ajali ya barabarani katika barabara kuu ya Nairobi kuelekea Mombasa.

Tags:

machakos county Alfred Mutua Lilian Nganga

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories