Waliofunga ndoa ya shilingi 100 wafanya harusi kubwa
Published on: February 14, 2017 08:50 (EAT)
Huku leo ikisemekana kuwa kuwa siku ya wapendanao, wapenzi wawili waliozua gumzo kutokana na harusi yao iliyogharimu shilingi mioa moja kwa anne na wilson siku ya leo daima itasalia kwenye kumbukumbu kwani hawakujua kwamba ndoa yao ya shilingi mia moja itazaa baraka tele.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment