Wamiliki wa matatu jijini Nairobi wanatishia kugoma Jumanne
Published on: September 16, 2017 10:25 (EAT)
Kunadhifisha mji wa Nairobi ni mojawepo ya majukumu makubwa ambayo Gavana Mike Sonko amejitikwa. Na ifikapo siku ya Jumatano wiki kesho serikali yake itaanza kutekeleza zoezi la kupunguza msongamano wa magari katikati mwa jiji. Hata hivyo kuna changamoto nyingi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment