Wana-NASA waishambulia vikali IEBC
Published on: September 12, 2017 08:56 (EAT)
Viongozi wa Nasa waliambulia kufanya mkutano wa hadhara katika ukumbi wa kamkunji mtaani Kibra hapa jijini Nairobi wakati wenzao wa mrengo wa Jubilee walipokuwa wakiskia hotuba ya rais bungeni. Nasa wamesema kuwa hawakuhudhuria kikao hicho kwa sababu Rais Kenyatta hana mamlaka yoyote ya kuitisha kikao cha bunge na kuwa jukumu hilo ni la rais atakayechaguliwa na wananchi katika marudio ya uchaguzi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment