Wana-NASA wasisitiza itakuwa vigumu kufanyika marudio ya uchaguzi
Published on: September 13, 2017 08:23 (EAT)
Muungano wa Nasa umesema uchaguzi mpya wa urais hautaandaliwa, hadi masharti uliotoa kwa tume ya IEBC yashughulikiwa. Vinara wa Nasa na wabunge wa muungano huo wamesisitiza sharti maafisa wote wa IEBC wanaodaiwa kuhujumu uchaguzi wa urais mwezi jana wapigwe kalamu, na kufunguliwa mashtaka, huku wakidai kiongozi wa mashtaka ya umma Keriako Tobiko amefeli katika majukumu yake.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment