Wanachama wa KNUT wazua zogo wakitaka Sossion ajiuzulu

Vurumai zilizuka katika mkutano wa muungano wa walimu nchini KNUT katika kaunti ya Mombasa pale baadhi ya wanachama kutoka matawi mbalimbali walizusha vurugu wakimtaka katibu mkuu wa muungano huo Wilson Sossion kuondolewa. Wanachama hao wanasema Sossion anaegemea mrengo wa upinzani baada ya kuteuliwa kuwa mbunge na chama cha ODM.

Tags:

KNUT Wilson Sossion

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories