Wanachama wa KNUT wazua zogo wakitaka Sossion ajiuzulu
Published on: December 14, 2017 07:59 (EAT)
Vurumai zilizuka katika mkutano wa muungano wa walimu nchini KNUT katika kaunti ya Mombasa pale baadhi ya wanachama kutoka matawi mbalimbali walizusha vurugu wakimtaka katibu mkuu wa muungano huo Wilson Sossion kuondolewa. Wanachama hao wanasema Sossion anaegemea mrengo wa upinzani baada ya kuteuliwa kuwa mbunge na chama cha ODM.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment