Wanafunzi 10 watiwa nguvuni kwa ulevi, Tetu
Published on: September 08, 2016 08:40 (EAT)
Wanafunzi kumi kutoka shule ya upili ya Tetu katika kaunti ya Nyeri, wametiwa mbaroni na maafisa wa polisi mjini Nyeri baada ya kupatikana wakizurura mitaani wakiwa walevi.Vijana hao ambao ni wavulana tisa na msichana mmoja walipatikana pia wakiwa na miraa pamoja na misokoto ya bangi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment