Wanafunzi 3 wafa kwenye ajali Kabarnet
Published on: June 16, 2017 07:59 (EAT)
Wanafunzi watatu wameaga dunia asubuhi ya leo katika ajali mbaya ya barabarani wakati basi la shule yao walilokuwa wakisafiria lilipohusika katika ajali. Na wanawake mia mbili wanaogua maradhi ya Fistula kufaidi kutokana na mradi wa milioni 12 uliozinduliwa hii leo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment