Wanafunzi 5 na mlinzi wajeruhiwa katika maandamano

Wanafunzi 5 na mlinzi mmoja wa chuo kikuu cha Multimedia wanauguza majeraha hospitalini kufuatia maandamano yaliyozua mapigano makali kati ya maafisa wa polisi na wanafunzi walioandamana kushinikiza kukamatwa kwa dereva wa matatu iliyopata ajali jumapili na kusababisha kifo cha mmoja wao.

Tags:

Langata Road Multimedia University ongata rongai

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories