Wanafunzi 6 wa shule ya Alliance washtakiwa Kikuyu
Published on: March 03, 2017 08:12 (EAT)
Wanafunzi watano wa shule ya upili ya wavulana ya Alliance wanazuiliwa katika kituo cha watoto cha Kiambu baada ya kukanusha mashtaka ya kuwatesa wanafunzi huku mwanafunzi mmoja aliye na umri wa zaidi ya mika 18 akipelekwa korokoroni. Sita hao ambao ni viranja wanadaiwa kuwapa mateso wanafunzi haswa wa kidato cha kwanza na kuwajeruhi vibaya.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment