Wanafunzi 8 waangamia kwenye mkasa wa moto shuleni Moi Girls
Published on: September 02, 2017 08:31 (EAT)
Wanafunzi wanane wa shule ya upili ya Moi Girls Nairobi wamefariki baada ya moto kuteketeza bweni lao usiku wa kuamkia leo. Moto huo ambao chanzo chake bado hakijabainika uliteketeza vibaya bweni la wanafunzi wa kidato cha kwanza. Shughuli za kubaini walioaga dunia sawa na kuchunguza tukio hilo zinaendelea.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment