Wanafunzi Kadhaa Wajeruhiwa Katika Maandamano
Published on: January 19, 2015 07:14 (EAT)
Wanafunzi watano wa shule ya msingi ya Lang’ata hii leo walifikishwa katika hospitali ya Lang’ata baada ya kujeruhiwa kufuatia hatua ya polisi kutumia vitoa machozi kuwatawanisha waandamanji miongoni mwao wakiwa wanafunzi waliokuwa wakilalamikia kunyakuliwa kwa ardhi inayodaiwa kuwa uwanja wao wa kuchezea
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment