Wanafunzi wa kidato cha 1-3 shuleni Moi Girls warudi kwa masomo
Published on: September 15, 2017 08:39 (EAT)
Wazazi na mwanafunzi wa kidato cha tatu na cha pili wa shule ya upili ya wasichana ya Moi walifika leo shuleni, baada ya shule hiyo kufungwa wiki mbili zilizopita kufuatia mkasa wa moto uliosababisha vifo vya wanafunzi 9.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment