Wanafunzi wa kidato cha 1 warejea shuleni Moi Girls
Published on: September 16, 2017 10:13 (EAT)
Wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya wasichana ya Moi hapa Nairobi, leo walifika shuleni ili kuendelea na masomo ya muhula wa tatu. Hii ni baada ya bweni lao kuchomeka wiki mbili zilizopita. Moto uliosababisha wanafunzi tisa kupoteza maisha.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment