Wanafunzi wa kidato cha 1 warejea shuleni Moi Girls

Wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya wasichana ya Moi hapa Nairobi, leo walifika shuleni ili kuendelea na masomo ya muhula wa tatu. Hii ni baada ya bweni lao kuchomeka wiki mbili zilizopita. Moto uliosababisha wanafunzi tisa kupoteza maisha.

Tags:

Moi Girls

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories