Wanafunzi wa kidato cha 4 shuleni Moi Girls kurudi Ijumaa
Published on: September 07, 2017 08:22 (EAT)
Wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya upili ya Moi hapa jijini Nairobi wanatarajiwa kurudi shuleni hapo kesho, kuendelea na matayarisho ya mtihani wa KCSE, siku sita baada ya mkasa wa moto ulisababisha vifo vya wanafunzi tisa. Wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi tatu, watarudi wiki ijayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment