Wanafunzi wa kidato cha 4 shuleni Moi Girls kurudi Ijumaa

Wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya upili ya Moi hapa jijini Nairobi wanatarajiwa kurudi shuleni hapo kesho, kuendelea na matayarisho ya mtihani wa KCSE, siku sita baada ya mkasa wa moto ulisababisha vifo vya wanafunzi tisa. Wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi tatu, watarudi wiki ijayo.

Tags:

Moi Girls

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories