Wanafunzi wafunga barabara ya Jogoo
Published on: June 14, 2017 09:26 (EAT)
Usafiri ulikatizwa katika barabara kuu ya Jogoo baada ya wanafunzi wa shule ya msingi ya St Annes kundamana wakilalamikia ongezeko la ajali katika barabara hiyo. Haya yanajiri baada ya mwanamume anayewasaidia wanafunzi hao kuvuka barabara kugongwa na gari hapo jana.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment