Wanafunzi wafunga barabara ya Jogoo

Usafiri ulikatizwa katika barabara kuu ya Jogoo baada ya wanafunzi wa shule ya msingi ya St Annes kundamana wakilalamikia ongezeko la ajali katika barabara hiyo. Haya yanajiri baada ya mwanamume anayewasaidia wanafunzi hao kuvuka barabara kugongwa na gari hapo jana.

Tags:

NTSA Jogoo Road pupils block Jogoo road St Anne Primary School

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories