Wanafunzi wafurahia masomo kupitia vipakatalishi
Published on: October 12, 2016 08:41 (EAT)
Miezi sita tangu kuanzishwa kwa mradi wa dijitali kwa wanafunzi wa shule za msingi za serikali hapa nchini, wanafunzi wengi katika maeneo ambayo mradi huo unaendeshwa wanafurahia matunda ya kujua kutumia vipakatilishi. Ila changamoto kadhaa kuibuka mara kwa mara kama anavyoelezea nasteha mohammed.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment