Wanafunzi walazwa hospitalini baada ya kula matunda yenye sumu
Published on: March 09, 2017 08:41 (EAT)
Wanafunzi kadhaa wa shule ya msingi ya Mutunguni huko Chuka katika kaunti ya Tharaka Nithi wamelazwa hospitalini baada ya kula matunda yenye sumu hapo jana. Wanafunzi hao wapatao arobaini na saba walijipata hatarini walipokula matunda hayo waliyoyachuna kutoka kwa miti iliyo kandokando mwa shule hiyo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment