Wanafunzi walazwa hospitalini baada ya kula matunda yenye sumu

Wanafunzi kadhaa wa shule ya msingi ya Mutunguni huko Chuka katika kaunti ya Tharaka Nithi wamelazwa hospitalini baada ya kula matunda yenye sumu hapo jana. Wanafunzi hao wapatao arobaini na saba walijipata hatarini walipokula matunda hayo waliyoyachuna kutoka kwa miti iliyo kandokando mwa shule hiyo.

Tags:

Chuka matunda yenye sumu Mutunguni

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories