Wanafunzi wengi hawamalizi kusoma Kwale
Published on: January 14, 2017 08:26 (EAT)
Shule ya msingi ya Mwamivi katika eneo la Tiwi kule Matuga kaunti ya Kwale haijakuwa na mwanafunzi wa kike aliyefaulu kujiunga na shule ya upili katika kipindi cha miaka saba iliyopita. Wengi wao hutungwa mimba au kuolewa kabla ya kumaliza masomo ya darasa la nane. Hata hivyo mwaka huu wasichana watano waliofaulu kukwepa mawimbi ya ndoa za mapema au ujauzito. Mwanahabari wetu Nicky Gitonga ana maelezo zaidi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment