Wanafunzi zaidi ya elfu tisa kufanya mtihani maalum

Wanafunzi elfu kumi ambao hawakufanya mtihani wao wa KCPE mwaka huu watazidi kusubiri. Japo Rais Uhuru Kenyatta ameagiza kuwa wanafunzi ambao kwa asababu moja au nyingine hawakuwez akufanya mtihani wapewe nafasi ya kufanya mtihani maalum, bado mikakati ya kuwawezesha hayo kufanyika inapigwa msasa.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories