Wanajeshi wa KDF wauwa wanamgambo 57 wa Al-Shabaab
Published on: March 02, 2017 09:41 (EAT)
Hali ya taharuki imetanda hii leo katika kambi ya wakimbizi ya Hagdera baada ya waalimu wasita wa shule ya kibinafsi ya udha kutekwa nyara na watu wasiojulikana ambao walikuwa wamejihami kwa bunduki. Huku hayo yakijiri wanamgambo hamsini na saba wa Al Shabaab wameuawa na wanajeshi wa KDF chini ya kikosi cha AMISOM hii leo baada vita kali kuzuka baina ya majeshi hao wa KDF na wanamgambo wa Al Shabaab mita chache kutoka eneo la Afmadow, nchini Somalia.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment