Wanaoendesha magari wakiwa walevi washikwa
Published on: December 09, 2017 08:49 (EAT)
Madereva zaidi ya 24 walikamatwa jana usiku kwa kuendesha magari wakiwa wamebugia mvinyo katika operesheni inayofanywa na mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani NTSA.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment