Wanasiasa 2 wapigwa risasi hadi kufa eneo la Mogotio

Utata umezingira mauaji ya wanasiasa wawili wa kaunti ya Baringo waliopigwa risasi na watu wasiojulikama mkesha wa leo. Mwakilishi wa wodi ya Kibet Cheretei na mwanasiasa Simon Kitambaa walipigwa risasi katika mkahawa mmoja katika eneo la Mogotio katika kile kinachohofiwa kuwa uhasama wa kisiasa.

Tags:

baringo Asman Kamama pepee Kitambaa

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories