Wanasiasa 2 wapigwa risasi hadi kufa eneo la Mogotio
Published on: February 18, 2017 09:22 (EAT)
Utata umezingira mauaji ya wanasiasa wawili wa kaunti ya Baringo waliopigwa risasi na watu wasiojulikama mkesha wa leo. Mwakilishi wa wodi ya Kibet Cheretei na mwanasiasa Simon Kitambaa walipigwa risasi katika mkahawa mmoja katika eneo la Mogotio katika kile kinachohofiwa kuwa uhasama wa kisiasa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment