Wanasiasa sasa kulipia nyimbo za kampeni

Ilani imetolewa kwa wagombea wote wa viti mbali mbali nchini kuwa utumizi wa nyimbo katika hafla za kisiasa bila kuwa na leseni maalum ni kinyume na sheria. Kulinga na tangazo lililotolewa na halmashauri ya watungaji nyimbo na washika dau ifikapo 16 mwezi juni yeyote atapatikana akidundisha mziki bila leseni hiyo ataweza kukamatwa.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories