Wanasiasa Wa CORD Wafika Tume Ya Ufisadi
Published on: November 10, 2014 05:53 (EAT)
Viongozi watatu wa CORD hatimaye hii leo wamewasilisha Kwenye time ya ufisadi nchini kuhusiana na unyakuzi wa ardhi ya ekari 134 eneo la Karen. Watatu hao maseneta Johnston Muthama, Bonnie Khalwale na James Orengo wamesema kuwa watawasilisha ushahidi huo kwa umma hapo kesho pamoja na kuangazia masuala tata katika sekta ya ardhi nchini
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment