Wanasiasa wa Jubilee walalamikia uamuzi wa mahakama
Published on: September 01, 2017 08:13 (EAT)
Maseneta na wabunge wa Jubilee wakiongozwa na seneta wa Tharaka Nithi Kithure Kindiki wamesema kuwa wametamaushwa na uamuzi wa mahakama ya juu wa kubatilisha ushudhi wa Rais Uhuru Kenyatta ila wakasema kuwa wako tayari kwa uchaguzi mwingine wa urais na kwamba watathibitisha kuwa Rais Uhuru Kenyatta alichaguliwa na wakenya wengi kwani wana imani kuwa atashinda kwa kura nyingi zaidi ya alizopata agosti nane.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment