Wanasiasa wa upinzani wahudhuria mazishi Vihiga
Published on: February 11, 2017 09:05 (EAT)
Vinara wa muungano wa NASA hii leo walielekea katika kaunti ya Vihiga kumfariji seneta wa kaunti hiyo George Khaniri ambaye alimpoteza mamake wiki iliyopita. Viongozi hao wakiongozwa na kinara wa upinzani Raila Odinga, wamesema kuwa serikali ya Jubilee haipaswi kurejeshwa mamlakani kwani wameshindwa kukabiliana na ufisadi.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment