Wanasiasa wanaopotosha vijana watakiona Marwa
Published on: May 27, 2017 08:55 (EAT)
Mratibu wa masuala ya usalama katika eneo la pwani Nelson Marwa amewaonya wanasiasa ambao huwaingiza vijana katika makundi ya kuzua ghasia kuwa watatiwa mbaroni. Aidha, Marwa amewahakikishia waislamu na wakazi wote wa pwani kuwa usalama umeimarishwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment