Wanasiasa wanaopotosha vijana watakiona Marwa

Mratibu wa masuala ya usalama katika eneo la pwani Nelson Marwa amewaonya wanasiasa ambao huwaingiza vijana katika makundi ya kuzua ghasia kuwa watatiwa mbaroni. Aidha, Marwa amewahakikishia waislamu na wakazi wote wa pwani kuwa usalama umeimarishwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.

Tags:

Ramadhan Nelson Marwa ugaidi Siasa pwani

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories