Wanasiasa wazidisha kampeni za kura
Published on: January 18, 2017 09:14 (EAT)
Wanasiasa kutoka maeneo mbali mbali wamejitokeza kuwahimiza wakenya ambao hawajajiandikisha kupiga kura ,kufanya hivyo kwani ndio tumaini lao huku wakisisitiza kwamba kura yako ni haki yako ya kimsingi kumchagua kiongozi unayemtaka .
Aidha baadhi walichukuwa fursa kupigia debe chama chao. Huku wengine wakikosoa zoezi zima
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment