Wanawake waandamana Mombasa kupinga ubakaji
Published on: February 28, 2017 08:40 (EAT)
Wanawake mjini mombasa hii leo waliandamana kulalamikia kuzorota kwa usalama katika eneo la kibarani, baada ya mwanamke mmoja kubakwa juma lililopita.
Irene syongula kwa sasa anauguza majeraha katika hospitali moja ya kibinafsi mjini mombasa baada ya kupoteza miguu yake alipogongwa na gari moshi.
Na kama anavyoarifu hassan mugambi wanawake hawa wanapendekeza adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia ya ubakaji.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment