Wanawake waandamana Mombasa kupinga ubakaji

Wanawake mjini mombasa hii leo waliandamana kulalamikia  kuzorota kwa  usalama katika eneo la kibarani, baada ya mwanamke mmoja kubakwa  juma lililopita.

Irene syongula kwa sasa anauguza majeraha katika hospitali moja ya kibinafsi mjini mombasa baada ya kupoteza miguu yake alipogongwa na gari moshi.

Na kama anavyoarifu hassan mugambi wanawake hawa wanapendekeza adhabu kali kwa watakaopatikana na hatia ya ubakaji.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories