Wangusi akanusha kuwa CAK inapania kudukua simu za Wakenya

Mamlaka ya mawasiliano nchini hii leo imekanusha madai kuwa inapania kuanza kuchunguza mawasiliano ya wakenya kwa kudadisi simu zao. Francis Wangusi ambaye ndiye mkurugenzi mkuu wa mamlaka hiyo, anasema kuwa mfumo mpya wanaoubuni unalenga kukabiliana na simu ghushi sawa na kukomesha mawasiliano yanayofanyika kinyume cha sheria. Wakati uo huo kampuni ya huduma za mawasiliano ya Safaricom imepinga vikali hatua ya mamlaka hiyo.

Tags:

CAK Francis Wangusi

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories