Wanjigi: Mimi ni mkenya asiye na hatia

Uvamizi nyumbani kwa mfanyibiashara Jimi Wanjigi ulifikia kikomo asubuhi ya leo baada ya saa 72 za maafisa wa polisi kumsaka bila mafanikio katika nyumba hiyo.
Mfanyibiashara huyo aliyezungumza na wanahabari kwa mara ya kwanza hii leo alishtumu serikali kwa kumhangaisha ikilipiza visasi vya kisiasa.

Tags:

raila odinga NASA Jimmy wanjigi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories