Wanjiru Denge azikwa nyumbani kwake Saku kaunti ya Marsabit
Published on: December 16, 2017 08:26 (EAT)
Mazishi ya marehemu Cathrine Wanjiru Denge ambaye ni mkewe kanali Paul Denge yalifanyika nyumbani kwake eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit. Kabla ya kifo chake, Catherine Wanjiru Denge aliugua kwa muda wa wiki moja, lakini akaaga dunia alipokuwa akipokea matibabu hospitalini. Kanali Paul Denge amekuwa rubani wa kampuni ya Royal Media services kwa miaka sita sasa na kifo cha mkewe ni pigo kubwa kwa familia yake.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment